TUNASAGA UNGA, NA KUSAMBAZA KWA WATEJA.
WOTE MNAKARIBISHWA
ERASTO MSUYA
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Erasto Msuya auwawa kinyama Arusha, Hapo ni picha ya marehemu. hakika tutakujulisha kadri tutakavyopata taarifa, na maendeleo ya msiba mungu aiweke roho ya marehemu pema peponi.
HUU NI MLIMA KIDOGO NI WAAJABU KWANI JUU KABISA KILELENI UNA UWANJA WA NDEGE AMBAO ULIKUWA UNATUMIWA NA WAKOLONI,NA HADI HIVI LEO KUNA MAJINA YA WAKOLONI KWANI MLIMA HUU UPO MKOANI KILIMANJARO KIJIJI CHA MFINGA KATA YA SHIGHATINI TARAFA YA UGWENO WILAYA YA MWANGA, NA MTUNZA MLIMA HUO KWA SASA NI MZEE ABDALLAH YUSUFU MARIJANI KWANI UKIFIKA ULIZA MZEE ABDALLAH YUSUFU MARIJANI ATAKUELEZEA MAAJABU YOTE YALIYOPO KTK MLIMA HUO. FIKA MZUNGUMZE ATAKUTEMBEZA MAENEO MUHIMU YOTE BILA SHAKA UTAPATA NA HISTORIA YA MAJI KATIKA MAENEO HAYO UTAMFAHAMU MTU WA ZAMANI MAARUFU KWA JINA LA CHEGHO NA MWANAWE MBORAMBOJI TAFADHALI SIWEZI KUELEZA UTAMU WA MAEMEO HUSIKA ILA YUPO MUELEZEAJI MZEE ABDALLA YUSUFU MARIJANI, KWANI NI MAENEO MUHIMU MAISHANI KWAKO, KUMBUKA WATU HUTOKA ULAYA KUJA KUFUATILIA HISTORIA YA MAENEO HAYO.
Mtoto Aini Saidi msofe siku aliyofunguliwa jalada la mahudhurio clinic ya watoto GMH mwenge Aini Msofe alizaliwa akiwa na uzito wa kg 3.6 na leo amefikia uzito wa kg 5.6 pia ameweza kupatiwa chanjo ya sindano mbili za mapaja, na matone mdomoni.
mungu amuweke pema bilionea.
ReplyDelete