Posts

Showing posts from April, 2014

MAAFALI YA CHUO KIKUU CHA MWALIMU NYERERE

Image
 Leo ilikuwa  ni furaha sana kwa bi Zena Mtengeti kwani ndo siku muhimu kwa ngazi ya kielimu kwani ndo siku yake ya kutunukiwa shahada ya kwanza ya Jinsia na Maendeleo ya jamii , watu kanza wa kaza walifika kwa ajili ya kumpongeza picha ya pili toka juu ni mume wa zena Mtengeti akimvisha taji kwa ishara ya kumpongeza mkewe na  kumhusia maneno yafuatayo mwanzo wa shahada ya kwanza iwe ni faida kwa Taifa lako, na uwe mwanzo wa shahada ya pili na akasema hongera sana!!!!!!!!!!!!!!.

BIBI AINI

Image
Huyu ni mama mzazi wa Said  Msofe akiwa na Mwali wake zamani wa mtoto wake wa pili wa kiume Salum msofe.

MWALIMU NYERERE MEMORIAL ACADEMY

Image
Wanafunzi hawa wakiwa na furaha ya kutosha kabisa wakiwa katika sherehe ya maulidi ya kuhitimisha mafunzo yao ya chuo yaliyoanza mwaka 2010 hadi 2013, baadhi ya picha anayekula aliyeweka nyama ya kuku mdomoni ni Zena Mtengeti, juu kabisa anayekutanzama na mwenye tabasam ni Sada Wakasi, anayeangalia kamera ni Fatuma.

Hot news

Image
Picha za Aini Msofe akiwa na umri wa miezi kumi kama unavyoona mtoto akiwa na tabasam la kutosha na mshangao wa mambo mbalimbali ya kidunia na pia anasikitika watu wa dunian na mambo yao. na kuona naye yupo duniani la msingi ni kuzidisha dua kwa mola wetu atusamehe.

HABARI NA MATUKIO

Image
Picha ya kwanzaa hapo juu ni ndugu Kibarua ambaye ni moja ya watu wenye utu na ubinaadamu hasa wakati wa shida, ndugu huyu aliweza kujitoa bila ya kujali ratiba zake nakusaidia pale ambapo shida ilijitokeza. Na picha ya mtoto hapo juu ni Aini msofe.

JIJI LETU

Image
Aini Msofe akiwa juu hapo na mama yake wakiwa sonara iliyoko Mlimani City, na chini ni picha na manjari ya jiji la Dar es salaam.

AINI MSOFE

Image
Picha za Aini msofe akiwa na mama yake, siku ya kwanza kupelekwa Mlimani City Shopright, kwa ajili ya kutoga(kutobolewa) masikio kwa ajili ya kuvaa hereni. Dada aliyevaa baibui ndiye mtoboaji masikio ni mtaalam  na ana uzoefu wa kutosha anapatikana Mlimani City ukifika Uliza kwa sonara wanakotoboa masikio.