TUNASAGA UNGA, NA KUSAMBAZA KWA WATEJA.
WOTE MNAKARIBISHWA
AINI MSOFE
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Mtoto Aini Saidi msofe siku aliyofunguliwa jalada la mahudhurio clinic ya watoto GMH mwenge Aini Msofe alizaliwa akiwa na uzito wa kg 3.6 na leo amefikia uzito wa kg 5.6 pia ameweza kupatiwa chanjo ya sindano mbili za mapaja, na matone mdomoni.
Erasto Msuya auwawa kinyama Arusha, Hapo ni picha ya marehemu. hakika tutakujulisha kadri tutakavyopata taarifa, na maendeleo ya msiba mungu aiweke roho ya marehemu pema peponi.