TUNASAGA UNGA, NA KUSAMBAZA KWA WATEJA.
WOTE MNAKARIBISHWA
HABARI NA MATUKIO
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Picha ya kwanzaa hapo juu ni ndugu Kibarua ambaye ni moja ya watu wenye utu na ubinaadamu hasa wakati wa shida, ndugu huyu aliweza kujitoa bila ya kujali ratiba zake nakusaidia pale ambapo shida ilijitokeza. Na picha ya mtoto hapo juu ni Aini msofe.
Erasto Msuya auwawa kinyama Arusha, Hapo ni picha ya marehemu. hakika tutakujulisha kadri tutakavyopata taarifa, na maendeleo ya msiba mungu aiweke roho ya marehemu pema peponi.
Comments
Post a Comment
TUMIA BUSARA UTAELEWEKA TU.