Picha za Aini msofe akiwa na mama yake, siku ya kwanza kupelekwa Mlimani City Shopright, kwa ajili ya kutoga(kutobolewa) masikio kwa ajili ya kuvaa hereni. Dada aliyevaa baibui ndiye mtoboaji masikio ni mtaalam na ana uzoefu wa kutosha anapatikana Mlimani City ukifika Uliza kwa sonara wanakotoboa masikio.
Comments
Post a Comment
TUMIA BUSARA UTAELEWEKA TU.