AINI MSOFE















Picha za Aini msofe akiwa na mama yake, siku ya kwanza kupelekwa Mlimani City Shopright, kwa ajili ya kutoga(kutobolewa) masikio kwa ajili ya kuvaa hereni. Dada aliyevaa baibui ndiye mtoboaji masikio ni mtaalam  na ana uzoefu wa kutosha anapatikana Mlimani City ukifika Uliza kwa sonara wanakotoboa masikio.

Comments

Popular posts from this blog

Feminist Theory and Gender Studies Archive

MADHARA YA TAMAA NA UCHU