JE MARADHI AMBUKIZI YA UKIMWI YATAKWISHA



Imekuwa ni kawaida kwa maeneo yenye hali ya joto baadhi ya wanawake kuvaa nguo nyepesi lakini kwa hivi sasa imekuwa ni kukomoana, kwani mwangalieni huyo dada vizuri kila kona na munieleze je tutafika,zunguka maeneo ya mkoa wa mbeya ni moja ya sehemu zenye baridi lakini utawakuta kama hawa sijui ni joto au wanatatizo.Tujaribu kuchangia mada hii ili tuweze kuboresha maisha yetu na tuyakemee yale mabaya. mwandishi techniciani msofe.

Comments

Popular posts from this blog

Feminist Theory and Gender Studies Archive

MADHARA YA TAMAA NA UCHU