MIHOGO YAFUMUKA



Ndugu zangu nafikiri sisi waafrika hakuna asiyelifahamu hili zao maalum la mhogo kwani imekuwa ni chakula cha wakati mgumu hata kama mvua zitaacha kunyesha kwa kipindi fulani hili zao linavumilia,

Sasa dhumuni la kukuwekea kitafunwa hiki ni ujitahidi kama una eneo hata la mita tatu katika nyumbani kwako upande japo mashina mawili. usibweteke panda halafu utaukumbuka ujumbe huu.

Comments

Popular posts from this blog

Feminist Theory and Gender Studies Archive

MADHARA YA TAMAA NA UCHU